• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

Fedha na Biashara

IDARA YA FEDHA NA BIASHARA.

Idara ya Fedha na Biashara ina majukumu yafuatayo yaliyogawanyika kama ifuatavyo;

MAJUKUMU YA IDARA YA FEDHA

•    Kushauri Halmashauri kwenye masuala yote ya Fedha

•    Kuandaa Makisio ya mwaka ya mapato na matumizi kwa kushirikiana na idara zingine zilizopo Halmasauri

•    Kuandaa Ripoti za kawaida kwa Halmashauri kuhusiana na maendeleo ya matumizi halisi na Mapato kwa kulinganisha na Makisio ya Mwaka husika,na kutoa mapendekezo ya namna ya kutumia kulingana na kipato kilichopo

•    Kuandaa Hesabu za Mwisho wa Mwaka na kutoa taarifa

•    Kuhakikisha ufanisi wa udhibiti wa ndani katika kufuata sheria na taratibu za fedha,ikiwemo kuandika na kuzipitia mara kwa mara taratibu za fedha,kuziwasilisha kwenye kikao cha kamati ya fedha,uongozi na mipango kwa ajili ya kuidhinishwa na kugawanywa kwa wakuu wa idara

•    Kufundisha Maswala yote yanayohusu matumizi mazuri ya Fedha kwa Halmashauri.


KITENGO CHA BIASHARA.


1.    Shughuli za Seksheni ya Biashara viwanda na masoko
2.    Sekisheni hii ni miongoni mwa nyenzo muhimu ndani ya Halmashauri ya Handeni katika kutekeleza  Dira na Dhima ya  Halimashauri.
3.    Majukumu makubwa ya Seksheni.
4.    Kusimamia na kuratibu shughuli za Biashara ndani ya Halmashauri,kutafuta masoko ya bidhaa zinazozalishwa ndani ya  wilaya,kutoa taarifa za masoko kwa Wafanyabiashara na wazalishaji wa ndani na nje
5.    Kufanya ukaguzi wa maeneo ya Biashara,
6.    Kutoa leseni za Biashara na vileo,
7.    Kuandaa takwimu za Biashara na Masoko,
8.    Kuratibu na kusimamia shughuli za uwekezaji.

Huduma mbalimbali zinazotolewa na zinazopatikana idara ya Fedha na Biashara ni;


•    Elimu ya mlipa kodi ; Idara inatoa elimu hii kwa njia ya mbalimbali ikiwemo vipeperushi, matangazo kwenye redio,Televisheni na   magazeti.
•    Huduma za malipo  mbalimbali ya watumishi na watoa huduma katika Halmashauri.
•    Leseni za biashara mbalimbali katika Halmashauri zinapatikana katika kitengo cha Biashara.
•    Vitendea kazi vya kukusanyia mapato kama stakabadhi za kupokelea mapato, mashine za kielektroniki(POS Machine)
•    Ukusanyaji wa vyanzo vyote vya mapato ya halmashauri

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI UJENZI WA JENGO LA DHARURA (EMD) HOSPITALI YA WILAYA HANDENI February 16, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • Afisa elimu msingi: Kula shuleni ni lazima

    March 13, 2023
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yafana, Halmashauri ya Mji Handeni

    March 08, 2023
  • Walimu Halmashauri ya Mji Handeni, wapata mafunzo ya mfumo wa FFARS

    March 04, 2023
  • MILIONI 63.6 ZAMWAGWA KWA WAJASIRIAMALI HANDENI MJI. RAIS SAMIA ATAJWA.

    March 03, 2023
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.