• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

Ardhi na Maliasili

Idara ya Ardhi na Maliasili inaundwa na vitengo vikuu viwili (2) kama ifuatavyo:-

 Kitengo cha Ardhi

 Kitengo cha Maliasili

1.0 KITENGO CHA ARDHI

Ndani ya kitengo cha Ardhi pia kuna vitengo vikuu vine (4) navyo ni:-

  • Usimamizi katika Ardhi (Land Management)
  •  Mipango Miji na Vijiji (Town and Rural Planning)
  • Uthamini (Valuation)
  • Upimaji na Ramani (Surveying and Mapping)

Majukumu ya Kitengo hiki

  • Kuratibu na kudhibiti uendelezaji wa Miji na Vijiji.
  •  Kuratibu uandaaji wa Mipango ya Matumizi Bora ya Ardhi Vijijini na Mijini.
  • Kujenga uwezo wa kupanga na kutekeleza majukumu ya uendelezaji ardhi kwenye Halmashauri.
  • Kuelimisha jamii kuhusu Mipango ya Matumizi Bora ya Ardhi.
  •  Kuratibu na kusimamia utekelezaji wa Mipango ya Ardhi.
  •  Kubaini fursa na vikwazo vya uendelezaji.
  •  Kufuatilia na kutathimini utekelezaji wa mipango ya Miji na Vijiji inayoandaliwa.
  • Kusimamia uendelezaji wa maeneo ya makazi.
  •  Kushughulikia maombi ya mabadiliko ya matumizi ya kiwanja, muunganiko/mgawanyo wa kiwanja.

UTHAMINI (VALUATION)

Majukumu ya Kitengo hiki

  • Kukusanya taarifa za utafiti na mwenendo wa soko la Ardhi.
  •  Kuhakiki kumbukumbu za utafiti na kuziingiza kwenye kompyuta
  •  Kupokea maombi na kufanya uthamini chini ya usimamizi wa Mthamini aliyesajiliwa
  • kukagua, kupima na kuoanisha thamani ya majengo na ardhi kwa ajili ya kumbukumbu(Data Bank)
  •  Kufanya uthamini wa malipo ya fidia, kodi za nyumba, rehani, bima, mizania (Balance sheet) na mauzo ya mal

UPIMAJI NA RAMANI (SURVEY AND MAPPING)

Majukumu ya kitengo hiki

  • Kuandaa maeneo ya kusimika alama za msingi za upimaji
  •   Kutayarisha michoro ya utambuzi (Description diagrams)
  • Kupokea na kuhakiki picha za anga kutoka kwa mkandarasi.
  • Kufanya upimaji, mahesabu na kuandaa taarifa za kazi (Demarcation, coordination, computation and compilation).
  • Kuchora plani za upimaji (Survey plan)
  •  Kuchora plani za Hati (Deed plan)
  • Kuingiza taarifa za upimaji kwenye kompyuta (alpha numeric data)
  • Kukagua kazi za upimaji na kuingiza taarifa za kazi zilizothibitishwa kwenye compyuta.
  • Kufanya upimaji picha (aerial triangulation and block adjustment)
  •  Kuandaa vikosi kwa ajili ya kuhuisha ramani (map revision)
  •  Kutunza kumbukumbu za picha za anga
  • Kusimamia na kuchukua vipimo vya tide gauge (Hydrographic survey)
  • Kufanya kazi za nje ya ofisi (field survey operations) chini ya usimamizi wa mpima aliyesajiliwa.
  •  Kutoa huduma kwa wateja (customer services)
  • Kukagua masuala ya upimaji katika Halmashauri za Jiji, Manispaa, Miji na Wilaya (technical auditing)
  •  Kupokea na kushughulikia maombi ya upimaji picha anga.
  • Kufanya maandalizi ya upimaji wa majini.
  • Kuchambua na kuchunguza taarifa mbalimbali (data analysis)
  • Kusimamia upimaji wa kumbukumbu (data bank)
  • Kuchambua na kuchunguza matokeo ya kazi za upimaji na kutayarisha taarifa ya kiufundi.
  • Kusimamia mfumo wa utayarishaji ramani kwa kompyuta.
  • Kushauri Halmashauri kuhusu masuala ya upimaji na utayarishaji ramani.
  • Kukagua kazi za upimaji na kuziwasilisha kwa Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani
  •  Kufanya ubunifu wa ramani mpya
  •  Kutoa ushauri kwa wateja kwa ajili ya ramani maalum (thematic map)
  • Kufanya operasheni za upimaji
  •  Kufanya  uchambuzi wa takwimu (data processing and analysis)
  •  Kutayarisha alama za upimaji (survey plan beacons)\
  •  Kupanga na kuandaa mahitaji ya kambi za upimaji, vifaa vya upimaji na mahitaji ya jumla.
  • Kuandaa na kuchambua vifaa kwa ajili ya utayarishaji ramani.
  • Kuchambua, kushona, kukata na kuunganisha nyaraka zilizochapwa.

KITENGO CHA MALIASILI  Ndani ya kitengo cha Maliasili  pia kuna vitengo vikuu vitatu (3) navyo ni:-

Misitu , Nyuki na Wanyamapori.

MISITU

Majukumu ya Kitengo hiki

  • Kusimamia shughuli zote za upande wa misitu.
  • Kusimamia watumishi wote wa upande wa misitu walioko makao makuu na kwenye kata.
  • Kusimamia shughuli za Mkuhumi na mkaa endelevu na utoaji vibali kwa wavunaji wa mazao ya misitu.
  • Kusaidiana na Afisa wanyama pori wilaya katika kuratibu na kufuatilia shughuli za sehemu ya wanyamapori.
  •  Kuwapangia kazi na kusimamia watumishi wa misitu waliopo makao makuu na kwenye kata.

    WANYAMAPORI

        Majukumu ya Kitengo hiki

  • Doria kusimamia sheria, taatibu na miongozo ya Idara.
  • Kulinda maisha ya wananchi na mali zao dhidi ya wanyamapori waharibifu na wakali.
  • Kutoa elimu ya uhifadhi, usimamizi na matumizi endelevu ya wanyama pori.
  • Ukusanyaji maduhuli na kazi za utawala.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI UJENZI WA JENGO LA DHARURA (EMD) HOSPITALI YA WILAYA HANDENI February 16, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • Afisa elimu msingi: Kula shuleni ni lazima

    March 13, 2023
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yafana, Halmashauri ya Mji Handeni

    March 08, 2023
  • Walimu Halmashauri ya Mji Handeni, wapata mafunzo ya mfumo wa FFARS

    March 04, 2023
  • MILIONI 63.6 ZAMWAGWA KWA WAJASIRIAMALI HANDENI MJI. RAIS SAMIA ATAJWA.

    March 03, 2023
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.